08/06/2026
Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar inawakaribisha wananchi wote, watafiti, wanafunzi na wadau mbalimbali katika kilele cha siku ya nyaraka duniani pamoja na kutembelea Maonesho ya Nyaraka za Kiislamu na Kiarabu kwa Jamii ya Zanzibar, yatakayofanyika ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Nyaraka Duniani 2026.
Maonesho haya yanalenga kuonesha mchango wa nyaraka za kihistoria katika kuhifadhi utamaduni, urithi, maarifa na historia ya Zanzibar kwa vizazi vya sasa na vijavyo.
ποΈ Mgeni Rasmi:
Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
π
Tarehe: 09 Juni 2026
β° Muda: Saa 2:00 Asubuhi
π Mahali: Makumbusho ya Amani, Mnazi Mmoja
Karibu ujifunze, ujionee na kuthamini hazina ya nyaraka zinazobeba historia na utambulisho wa Zanzibar.