14/05/2026
Kuna watu wanapata pesa nyingi lakini kila mwezi unaoisha wanajikuta hawana kitu. Shida sio kipato kidogo, shida ni Financial Literacy. Watu wengi wanajua kutafuta pesa, lakini hawajui jinsi ya kuilinda na kuikuza. Wanaishi maisha ya "show off" ili kuwafurahisha watu wasiowapenda kwa kutumia pesa wasizokuwa nazo. Ukijifunza tofauti kati ya Asset na Liability, hapo ndipo utajiri wa kweli unapoanzia. Unanunua vitu vinavyoingiza pesa mfukoni au vinavyotoa pesa mfukoni?