Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi

Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi Ukurasa Rasmi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi Katavi.

Kutana na Dr. Lemmy Kasungu kwenye Kliniki ya Kibingwa ya Magonjwa ya Akina Mama kila siku Jumatatu hadi Ijumaa.
10/06/2026

Kutana na Dr. Lemmy Kasungu kwenye Kliniki ya Kibingwa ya Magonjwa ya Akina Mama kila siku Jumatatu hadi Ijumaa.

MICHEZO: Timu ya mpira wa miguu ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi (KRRH FC) leo Juni 8, 2026 imecheza mchezo wake ...
08/06/2026

MICHEZO: Timu ya mpira wa miguu ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi (KRRH FC) leo Juni 8, 2026 imecheza mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Wilaya ya Mpanda na kuibuka na ushindi wa goli 3-2 dhidi ya Heroes FC..

HABARI PICHA: Timu ya mpira wa miguu ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi (KRRH FC) mwaka huu itashiriki Ligi ya Wila...
08/06/2026

HABARI PICHA: Timu ya mpira wa miguu ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi (KRRH FC) mwaka huu itashiriki Ligi ya Wilaya ya Mpanda.

Akizungumza na Wachezaji wa Timu hiyo, Mhe. Fidensiana Mwanakulya ambaye amemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, amesema ni hatua kubwa kwa Taasisi ya afya kuwa na Timu ya mpira ambayo imefikia hatua ya kushiriki Ligi ya Wilaya kwani ni njia nzuri ya kujitangaza..

"Nilisikia kuwa hapa kuna Timu ya mpira wa miguu ila sikutarajia kuwa mnauwezo wa kushiriki mashindano makubwa, hongereni sana. Nina uhakika mtabeba kombe la Ligi hii ya Wilaya."

KRRH FC itaingia uwanjani leo Juni 8, 2026 saa 10:00 jioni kuvaana na Heroes FC.

05/06/2026

VIDEO: "Wazazi pelekeni Watoto Hospitalini wakapate chanjo ya Vitamini A, Tunawakaribisha sana hapa Katavi RRH" - Careen Magehema, Afisa Lishe Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi.

Kutana na Dr. Deogratias Banuba kwenye Kliniki ya Kibingwa Bobezi ya Upasuaji wa Mifupa inayofanyika kila siku Jumatatu ...
04/06/2026

Kutana na Dr. Deogratias Banuba kwenye Kliniki ya Kibingwa Bobezi ya Upasuaji wa Mifupa inayofanyika kila siku Jumatatu hadi Ijumaa.

03/06/2026

Katika Hospitali yetu ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi, Tunatoa huduma ya VIUNGO BANDIA na VIFAA TIBA SAIDIZI kwa ubora wa hali ya juu, Karibu tukuhudumie.

Leo Mei 28, 2026 ni siku ya Hedhi Salama Duniani, Kauli mbiu ya mwaka huu ni "Wezesha mazingira ya hedhi salama yenye Ut...
28/05/2026

Leo Mei 28, 2026 ni siku ya Hedhi Salama Duniani, Kauli mbiu ya mwaka huu ni "Wezesha mazingira ya hedhi salama yenye Utu kwa Wasichana na Wanawake wote" .

Bodi ya ushauri, Menejimenti na Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tunawatakia Waislamu na Watanzania wot...
27/05/2026

Bodi ya ushauri, Menejimenti na Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi tunawatakia Waislamu na Watanzania wote kheri ya Sikukuu ya Eid Al-Adha.

TAARIFA KWA UMMA.
25/05/2026

TAARIFA KWA UMMA.

RC MRINDOKO AZINDUA BASI LA WATUMISHI KATAVI RRH, ATOA PONGEZI KWA UTOAJI HUDUMA BORA KWA WANANCHIMkuu wa Mkoa wa Katavi...
20/05/2026

RC MRINDOKO AZINDUA BASI LA WATUMISHI KATAVI RRH, ATOA PONGEZI KWA UTOAJI HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko leo Mei 20, 2026 amezindua rasmi Basi la Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi.

Akizungumza mbele ya Watumishi, Mhe. Mrindoko amesema Basi hilo litasaidia sana Watumishi kupunguza gharama za maisha kwa kuwarahisishia usafiri.

Kwa upande mwingine, Mhe. Mrindoko amewapongeza Watumishi wote wa Katavi RRH kwa kazi nzuri ya kutoa Huduma bora ya Kuwahudumia Wananchi.

"Mimi tangu hii Hospitali ianzishwe hapa Katavi sijawahi kutoka nje ya Mkoa kwenda kutibiwa, Huwa nakuja hapa kupata matibabu kwasababu huduma ni nzuri na kuna kila aina ya matibabu hapa. Niwapongeze sana KRRH." Amesema Mhe. Mrindoko.

Naye, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi, Dr. Deogratias Banuba amesema wazo la kununua Basi hilo Dogo aina ya TATA alilipata tangu mwaka jana 2025 na lengo lilikuwa kuwarahisishia usafiri Watumishi ili kuwahi kazini na pia kutumiwa kwenye matukio ya kijamii.

Address

P. O BOX
Mpanda
449

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hospitali Ya Rufaa Mkoa Katavi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share