05/03/2026
Ujumbe ni mfupi lakini wenye nguvu: Kubadili simulizi la uhifadhi: Ni jukumu la kila mtu barani Afrika na kwingineko.
Katika mkutano wa Business of Conservation Conference, viongozi wetu, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini, Bw. Lendukushi Keiya, na Afisa Tawala na Rasilimali Watu, Bw. Mitiaki Nairaba, wamehudhuria kuonyesha kuwa kuwawezesha jamii za wenyeji si mbadala wa uhifadhi, bali ndiyo mkakati wenye ufanisi zaidi katika kulinda mandhari pana na muhimu ya Afrika kwa kuonesha mfano wa jinsi gani Makame WMA kwa kushirikiana na wadau wengine k**a Honeyguide Foundation na Carbon Tanzania wanavyofanya vyema katika hili.
Kwa pamoja tunaweza kulinda urithi wa asili wa Afrika kwa vizazi vya sasa na vijavyo. 🌍🌿
************
The theme is short but powerful: Changing the conservation narrative: It is everyone’s responsibility in Africa and beyond.
At the Business of Conservation Conference, our leaders, Chairman of the Board of Trustees Mr. Lendukushi Keiya and Administration and Human Resources Officer Mr. Mitiaki Nairaba are participating to demonstrate that empowering local communities is not an alternative to conservation but the most effective strategy for protecting Africa’s vast and vital landscapes.
They are also showcasing how Makame WMA, in collaboration with various conservation partners like Honeyguide Foundation and Carbon Tanzania, is successfully putting this approach into practice.
Together, we can protect Africa’s natural heritage for present and future generations. 🌍🌿