03/09/2020
Mbunge mteule viti maalumu kupitia Jumuiya ya Wazazi Tanzania BAHATI NDINGO Amefanya ziara ya kuwashukuru wajumbe wilaya ya Kyela.
Akizungumza na Wanachama wa chama Cha Mapinduzi Wilayani Kyela amesema Anawashukuru kwa kumuamini kuw katika nafasi hiyo.