Ccmtemekemedia

Ccmtemekemedia UKURASA RASMI WA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA TEMEKE

KIKAO CHA KIKAZI KATI YA KATIBU WA CCM (W) TEMEKE NA UONGOZI WA WALIMU​Leo, ofisi ya Katibu wa CCM (W) Temeke imepata he...
01/07/2026

KIKAO CHA KIKAZI KATI YA KATIBU WA CCM (W) TEMEKE NA UONGOZI WA WALIMU

Leo, ofisi ya Katibu wa CCM (W) Temeke imepata heshima na fursa ya kukutana na kufanya mazungumzo ya kina na Uongozi wa Kitaifa wa Walimu Makada.

​Katibu wa CCM (W) Temeke, Ndugu Daniel George Sayi, aliongoza kikao hiki kilicholenga kuimarisha ushirikiano, kusikiliza maoni na changamoto, na kujadili njia bora za kuboresha maslahi na mazingira ya kazi kwa walimu wetu nchini.

​Mazungumzo haya ni sehemu ya utaratibu wa chama kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha tunajenga Taifa lenye elimu bora na walimu wenye motisha.
​CCM Oyee! Kazi Iendelee! 🇹🇿🤝🍎

*KIKAO CHA ALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA TEMEKE* Mwenye Kiti wa CCM (W) Temeke, Ndugu: Zena Mgaya akiongoza Kikao cha ...
27/06/2026

*KIKAO CHA ALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA TEMEKE*
Mwenye Kiti wa CCM (W) Temeke, Ndugu: Zena Mgaya akiongoza Kikao cha Almashauri Kuu leo tarehe 27/06/2026 katika Ukumbi wa Iddi Nyundo.
Chama kimeimarika zaidi katika utekelezaji wa maazimio ya CCM na kutoa huduma bora kwa wanachama na wananchi wa Temeke.

08/06/2026
MBAGALA
08/06/2026

MBAGALA

CHAMAZI
08/06/2026

CHAMAZI

Ziara ya kihistoria ya Kamati ya Siasa CCM Mkoa wa Dar es Salaam katika Wilaya ya Temeke imefanyika tarehe 07/06/2026! 🇹...
08/06/2026

Ziara ya kihistoria ya Kamati ya Siasa CCM Mkoa wa Dar es Salaam katika Wilaya ya Temeke imefanyika tarehe 07/06/2026! 🇹🇿
​Viongozi wakuu wa mkoa wamesindikizwa na Mwenyekiti wetu wa CCM (W) Temeke, Cde. Zena Mgaya. Lengo likiwa ni kusikiliza kero za wananchi, kuimarisha uhusiano, na kuhimiza umoja na ushirikiano.
​Picha hizi zinaonyesha mapokezi makubwa waliyoyapata na ushiriki wa dhati wa wanachama wetu. 'SHINA LAKO - LINAKUITA' sio kauli mbiu tu, ni ahadi yetu ya kuhakikisha CCM inabaki kuwa karibu na wananchi daima.

🎯 25/2/2026🎯 Katibu wa CCM Wilaya ya TemekeNdugu DANIEL GEORGE SAYIAkiongozana na Mbunge wa Jimbo la Temeke Mh. Mariam N...
25/02/2026

🎯 25/2/2026
🎯 Katibu wa CCM Wilaya ya Temeke
Ndugu DANIEL GEORGE SAYI
Akiongozana na Mbunge wa Jimbo la Temeke Mh. Mariam Nasoro Kisangi
Kwenye Barabara ya FOKOLAND
Ilio Kamilka kwa Aslimia 70% kwa Jitihada za Wananchi na wakishirikiana na Chama cha Mapinduzi..
🎯 Kata ya Vituka
🎯CCM TEMEKE MEDIA
🎯 Kazi Na Utu Tunasongambele

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ccmtemekemedia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share