TCRA CCC - Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano

TCRA CCC - Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano -
The Consumer Consultative Council of the Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA-CCC)

23/06/2026


KageraTCRA CCC Yateta na Wanafunzi wa Chuo cha King Rumanyika Kagera.Kamati ya Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Mkoa w...
22/06/2026

Kagera

TCRA CCC Yateta na Wanafunzi wa Chuo cha King Rumanyika Kagera.

Kamati ya Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Mkoa wa Kagera imewasihi wanafunzi wa vyuo nchini kuifahamu vyema Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 ili kujua Haki na Wajibu walio nao.

Akizungumza na Wanachuo wa Chuo cha King Rumanyika kilichopo katika Kata ya Nshambya mkoani Kagera, Mwenyekiti wa Kamati ya Watumiaji Mkoa huo ndugu Prosper Mbakile amesema Vijana kuijua Sheria hiyo kutawaepusha na makosa ya mtandaoni wanayotenda pasi na kujua.

"Unakuta Kijana amemtukana mwenzie kwenye mtandao k**a vile Instagram au amemkashifu. miezi kadhaa imepita, kasahau, anashangaa kak**atwa, kumbe mwenzie alishtaki. Sasa, hivi ni vitu vidogo vidogo ambavyo unaweza kupuuza kumbe ni kosa la kimtandao! Jielimisheni Ndugu zangu!", amesema Mbakile.

Kamati hiyo ya Watumiaji Mkoa wa Kagera inaendelea na Kampeni ya kuelimisha makundi mbalimbali kuhusu matumizi sahihi ya Mawasiliano ikiwa ni Mkakati wa kuwafikia Watanzania Nchi nzima, unaoendeshwa na Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano nchini (TCRA CCC) k**a hatua mojawapo ya kusaidia watumiaji kufahamu Sheria na Miongozo mbalimbali ambayo inasimamiwa matumizi sahihi na salama ya huduma za mawasiliano.

Linda taarifa zako binafsi, usitoa taarifa zako binafsi bila kujiridhisha.
21/06/2026

Linda taarifa zako binafsi, usitoa taarifa zako binafsi bila kujiridhisha.


19/06/2026

Shiriki katika kumlinda mtoto dhidi ya ukatili na udhalilishaji mtandaoni.

CHUKUA HATUA SASA!


Tuwalinde Watoto dhidi ya Ukatili Mtandaoni.CHUKUA HATUA SASA!
16/06/2026

Tuwalinde Watoto dhidi ya Ukatili Mtandaoni.

CHUKUA HATUA SASA!


Siku ya Mtoto wa Afrika, Juni 16 2026.Mtoto ni Malezi; Msingi wa Familia Bora kwa Taifa Imara.
16/06/2026

Siku ya Mtoto wa Afrika, Juni 16 2026.

Mtoto ni Malezi; Msingi wa Familia Bora kwa Taifa Imara.


Address

14 Jamhuri Street
Dar Es Salaam
11470DARESSALAAM,

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255652966633

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TCRA CCC - Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Organization

Send a message to TCRA CCC - Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano:

Share