30/05/2026
Mashabiki wa Arsenal wanaendelea kuonyesha uzalendo na ubinadamu kwa kushiriki zoezi la uchangiaji damu katika siku ya Champions Day yanayoendelea Viwanja vya Posta, Kijitonyama.
Wakati tukisubiri tamko la Mheshimiwa Waziri wa Afya kuelekea Siku ya Mchangiaji Damu Duniani, tunakukaribisha nawe kuwa sehemu ya kuokoa maisha.
K**a uko maeneo haya au jirani, fika katika banda la Mpango wa Taifa wa Damu Salama uchangie damu na utoe tumaini kwa wanaohitaji huduma ya damu salama.
🩸 Changia Damu, Okoa Maisha.