12/06/2026
DAR ES SALAAM
Jumuika nasi ni siku ya pekee sanaaaaa!!! SIDO ni muhimili muhimu wa Serikali katika kuanzisha na kuendeleza viwanda vidogo nchini.
Njoo usikilize, Njoo ujifunze, Njoo upanue wigo wa mawasiliano na wajasiriamali wenzako, Njoo ukutane na watoa huduma katika sekta ya viwanda nchini wakuelezee ni namna gani unaweza kufaidika na huduma zinazotolewa.
KARIBU SANA!!!.
tz