12/02/2023
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Anisa Mbega (wa kwanza kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Watumishi wa Ubalozi wa Tanzania, New Delhi pamoja na familia zao katika Banda la Tanzania katika hafla ya Maonesho ya Miaka 60 ya ya British School, New Delhi ambapo Ubalozi ulituma fursa ya maonesho hayo adhimu kutangaza vivutio vya utalii, utamaduni pamoja na vyakula vya Tanzania.