25/08/2023
Mh. Dinah Mathamani Mkuu wa Wilaya ya Uvinza alipotembelea shule ya sekondari Lagosa na kujionea serikali ya Tanzania inavyowapokea wawekezaji katika kuhakikisha miundo mbinu ya madarasa inaboreshwa na wanafunzi wanapata mazingira mazuri na rafiki ya kujifunzia.
Dinah ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wadau katika wa maendeleo baada ya kuona uchakavu wa madarasa ya awali kulinganisha na madarasa ya fedha zilizoletwa na wafadhili mbalimbali katika kutatua changamoto ya uchakavu wa majengo ya madarasa.