Sukuma land

Sukuma land Karibu tukuunge na group letu la Whatsapp WASUKUMA MIKOA YOTE 🇹🇿
Tuma neno NIUNGE WASUKUMA KWENDA NAMBA 0629192753

12/06/2026

Shamedy Jogging na maandalizi kuelekea masumbwe kujumuika na mbogwe Jogging kesho jumamos k**a marafiki

Sema group la WASUKUMA MIKOA YOTE🇹🇿 WhatsApp uhuru umezidi sana🤣🤣🤣
08/06/2026

Sema group la WASUKUMA MIKOA YOTE🇹🇿 WhatsApp uhuru umezidi sana🤣🤣🤣

08/06/2026

Vibe la wana Shamedy jogging club kutokea municipal kahama

Baadhi ya wanagroup la Wasukuma mikoa yote 🇹🇿 jana wamepata nafasi ya kushiriki kumsaidia kuvuna mpunga mwanagroup mwenz...
05/06/2026

Baadhi ya wanagroup la Wasukuma mikoa yote 🇹🇿 jana wamepata nafasi ya kushiriki kumsaidia kuvuna mpunga mwanagroup mwenzao huko shinyanga kahama

ni upendo wa dhati wameonyesha kwa mwanagroup mwenzao kwani ni kitu ambacho siyo rahisi kufahamiana kwa njia za mitandao na kuweza kushirikiana na kusaidizana majukumu ambayo ni kitu ambacho lakini group la WASUKUMA MIKOA YOTE 🇹🇿 limeweza

k**a unataka kuungwa kwenye group letu la WhatsApp tuma neno niunge WASUKUMA kwenda namba 0629192753 utaungwa chap

Allan okello ashakuwa kelo huko
25/05/2026

Allan okello ashakuwa kelo huko

Mbona dogo anapenda kujiamulia mambo mwenyewe
22/05/2026

Mbona dogo anapenda kujiamulia mambo mwenyewe

Rio kaletwa na nani tz na kwa faida zipi? dondosha maoni yako
21/05/2026

Rio kaletwa na nani tz na kwa faida zipi? dondosha maoni yako

Kilichomtoa Djigui Diarra hiki hapa👇👇Diarra hakuona umuhimu wa kuendelea kulinda lango ingali yanga tayari imesharuhusu ...
13/05/2026

Kilichomtoa Djigui Diarra hiki hapa👇👇

Diarra hakuona umuhimu wa kuendelea kulinda lango ingali yanga tayari imesharuhusu goli, diarra baada ya kuharibiwa crean sheet yake hakuona umuhimu wa kuendelea kutetea lango lake na kuona kheri amuachie nafasi golikipa mwenzie nae apate nafasi

ukiangalia mchezaji huyu kwa sasa kitu pekee anachokipambania ni yanga isiruhusu goli, kwani mpaka sasa diarra anaongoza kwa crean sheet.

Baadhi ya Wanafamilia wa group la WASUKUMA MIKOA YOTE 🇹🇿 tulipata muda wa kukutana maeneo ya kahamatunapatikana Kwenye g...
11/05/2026

Baadhi ya Wanafamilia wa group la WASUKUMA MIKOA YOTE 🇹🇿 tulipata muda wa kukutana maeneo ya kahama

tunapatikana Kwenye group la Whatsapp k**a unahitaji kuungwa tuma neno niunge WASUKUMA kwenda namba 0629192753

Tumu follow mwanetu huko Instagram Kaka Emma George
10/05/2026

Tumu follow mwanetu huko Instagram Kaka Emma George

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sukuma land posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category