๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ธ๐—ฎ

  • Home
  • Russia
  • Moscow
  • ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ธ๐—ฎ

๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ธ๐—ฎ Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ธ๐—ฎ, Political organisation, Rusia, Moscow.

โ€ฆtaarifa ya kwanza isiyo rasmi, inadai kwamba aliuawaโ€ฆTaarifa ya pili isiyo rasmi, inadai kwamba ana majeraha makubwa, h...
10/07/2026

โ€ฆtaarifa ya kwanza isiyo rasmi, inadai kwamba aliuawaโ€ฆ

Taarifa ya pili isiyo rasmi, inadai kwamba ana majeraha makubwa, hasa sehemu za usoniโ€ฆ

Taarifa ya tatu, isiyo rasmi, inadai kwamba ametengwa na utawala mpya wa Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท, ndiyo maana hajahudhuria mazishi ya baba yakeโ€ฆ

๐Ÿ‘‰๐Ÿพ Taarifa โ€œrasmiโ€ kutoka utawala
huo mpya, inasema kwamba hakutakiwa kuhudhuria mazishi hayo kwa sababu za kiusalamaโ€ฆ ๐Ÿคท๐Ÿพ

๐Ÿ‘‰๐Ÿพ Waandishi wa habari kutoka Ukimani wamejazana huko Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท, lakini hakuna wanachokifanya zaidi ya kupiga picha na wanawake wa Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท, madukani...

๐Ÿ‘‰๐Ÿพ Hakuna hata mmoja anayedadisi au kuchunguza kuhusu ukweli wa hali ya huyu mheshimiwa...

๐Ÿ‘‰๐Ÿพ Itoshe tu kusema ya kwamba Ukimani mna waandishi wa habari kanjanja na takataka!โ€ฆ ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ

Usisahau kunifollow Kwa kugusa Link hii ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

BADO HAMJAELEWA TU?WAKO wapi wanaharakati wenu waliokuwa wanahamasisha maandamano? Wako wapi waliokuwa wanasema leo 77 m...
07/07/2026

BADO HAMJAELEWA TU?

WAKO wapi wanaharakati wenu waliokuwa wanahamasisha maandamano? Wako wapi waliokuwa wanasema leo 77 mnatoka kuandamana?

TULIWAAMBIA hawa ni kunguru! Hawana guts za kuandamana na kuingia barabarani kuandamana hata hatua 5 hawana huo uwezo.

ILA sasa ni mahodari sana kuchochea watoto wa watu kuingia mitaani na kufanya vurugu wakati wao wameufyata mkia na hawathubutu kutoka ndani leo..

SISI tunataka watoke mbele na waje barabarani kuongoza haya maandamano yao ya kuchoma moto vituo vya mafuta na mali za watu.. Tunawataka waje tuwaone ..

M###! ๐Ÿ˜ก

Usisahau kunifollow Kwa kugusa Link hii ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

โ€ฆmaandamano yamebuma, kwa aibu wanadai kuwa โ€œwamefanikiwa kuwaweka watu ndani na kutotoka njeโ€ฆโ€ ๐ŸคฃWanasema eti โ€œwafanyabi...
07/07/2026

โ€ฆmaandamano yamebuma, kwa aibu wanadai kuwa โ€œwamefanikiwa kuwaweka watu ndani na kutotoka njeโ€ฆโ€ ๐Ÿคฃ

Wanasema eti โ€œwafanyabiashara sijui hawajafungua madukaโ€ฆโ€ ๐Ÿ˜

Yaani mlitaka wafungue maduka yao ili muwaibie tena mali zao k**a mlivyofanya last time? ๐Ÿ˜

Tuliwaambia hakuna kitu huyu Maria Sarungi anaweza kufanya akiwa kwao Budapest kikafanikiwa, mkawa hamtaki kusikiaโ€ฆ. Kiko wapi sasa? ๐Ÿคท๐Ÿพ

Nifollow Kwa kugusa Link hii ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

MHAYA atabaki kuwa mhaya tu, Kuna ile kauli wanasema kuwa " Wahaya wanasifa" ndo hii sasa. Washroom za kwenye basi zao h...
25/06/2026

MHAYA atabaki kuwa mhaya tu, Kuna ile kauli wanasema kuwa " Wahaya wanasifa" ndo hii sasa. Washroom za kwenye basi zao hawatumii maji ya Bomba bali wanatumia special water kabsaa kutoka kampuni ya UHAI.๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ.

โ€ฆndio ile unaishi Ulaya/ Marekani/ Canada, unakaa unatuma pesa Ukimani, eti ujengewe nyumbaโ€ฆ ๐Ÿ˜Yaani wee kazi yako ni kut...
25/06/2026

โ€ฆndio ile unaishi Ulaya/ Marekani/ Canada, unakaa unatuma pesa Ukimani, eti ujengewe nyumbaโ€ฆ ๐Ÿ˜

Yaani wee kazi yako ni kutuma pesa tuโ€ฆ Kurudi nyumbani kujionea mwenyewe maendeleo ya ujenzi, hutakiโ€ฆ Unatuma pesa tuโ€ฆ ๐Ÿ˜

Siku mambo yanakataa Ulaya, unaamua sasa kurudi jumla Ukimani, unakutana na hali k**a hii ๐Ÿ˜๐Ÿคท๐Ÿพ

Jamani, muwe mnarudi nyumbani Ukimani, japo mara moja kwa mwaka, ikiwa kuna mradi wowote unaoendelea hukoโ€ฆ

Babu yenu sijawahi kukaa miezi 6 mfululizo Ulaya, bila kurudi Ukimaniโ€ฆ Nikichelewa sana ni miezi 8โ€ฆ Hapo maana yake kazi zimenikaba Ulayaโ€ฆ

Actually, wale โ€œdiasporaโ€ wasiorudi nyumbani japo kusalimia, ni mawili:
1. Hawana vibali huku Ughaibuni
2. Uchumi mdogo

KWA WANADIASPORA: Usifanye mradi wowote Ukimani ikiwa unajua huna uwezo wa kurudi hukoโ€ฆ Utakuja kunishukuru baadae!โ€ฆ ๐Ÿ‘‹๐Ÿพ

๐Ÿ‘‰Nini kifanyike kukomesha tabia hii ya wadada kwenda kwenye harusi nusu uch?
23/06/2026

๐Ÿ‘‰Nini kifanyike kukomesha tabia hii ya wadada kwenda kwenye harusi nusu uch?

๐Ÿ‘‰Leo nimeamua nitoke out na Kitoto changu Cha 2,000 ๐ŸคฃKitoto hiki kinanikosha kweli kweli si Kwa maufundi hayo๐Ÿฅฑsafari hii...
23/06/2026

๐Ÿ‘‰Leo nimeamua nitoke out na Kitoto changu Cha 2,000 ๐Ÿคฃ
Kitoto hiki kinanikosha kweli kweli si Kwa maufundi hayo๐Ÿฅฑ
safari hii nitamuoa kabisa hii Damu bado inachemka aisee..!

Nifollow kwa kubonyeza link hiyo hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

๐Ÿ‘‰Ila Dar-es-salaam ukute ngadu pamoja na ubabe wake anaendaga  kimoja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Usisahau kunifollow ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ Kwa kubonyeza link hiy...
20/06/2026

๐Ÿ‘‰Ila Dar-es-salaam ukute ngadu pamoja na ubabe wake anaendaga kimoja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Usisahau kunifollow ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Kwa kubonyeza link hiyo hapo chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://www.facebook.com/profile.php?id=61590624909659

โ€ฆkwa nini bwana harusi anacheka halafu bi harusi ananuna? ๐Ÿค”
18/06/2026

โ€ฆkwa nini bwana harusi anacheka halafu bi harusi ananuna? ๐Ÿค”

โ€ฆmatokeo ya uchaguzi wa urais nchini Peru ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ช bado hayajatangazwa rasmiโ€ฆBaada ya duru ya pili ya uchaguzi iliyofanyika wi...
17/06/2026

โ€ฆmatokeo ya uchaguzi wa urais nchini Peru ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ช bado hayajatangazwa rasmiโ€ฆ

Baada ya duru ya pili ya uchaguzi iliyofanyika wiki iliyopita, kuhesabu kura bado kunaendelea kwa ushindani mkali sana!.::

Kulingana na takwimu za hivi karibuni, Keiko Fujimori (huyo mama) anaongoza kwa 50.051% ya kura dhidi ya 49.949% za Roberto Sรกnchez (kushoto), tofauti ikiwa ni kura 18,000โ€ฆ

Hizo kura 18,000 ni miongoni mwa kura 30,000 kutoka diasporaโ€ฆ

Yaani diaspora ya Peru ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ช ndio watakaoamua mshindi wa Urais nchini humoโ€ฆ

Huu ni mmoja wa uchaguzi wenye ushindani mkali zaidi katika historia ya Peru, na matokeo ya mwisho yanaweza kuchukua siku kadhaa au hata wiki kadhaaโ€ฆ

Sijawahi kuelewa kwa nini diaspora ya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ hairuhusiwi kupiga kuraโ€ฆ ๐Ÿคท๐Ÿพ

Diaspora ya nchi nyingi sana, kutoka hapo hapo Barani Ukimani huwa nawaona kila mara wakienda kupiga kura kwenye mabalozi yao hapa Ulayaโ€ฆ

Address

Rusia
Moscow

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐— ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ธ๐—ฎ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share